MAOMBI HATARI YA KUVUNJA UCHAWI WA MAFUNDO

MAELEKEZO MAFUPI KUHUSU UCHAWI WA MAFUNDO:

Kumb 18:10-11
10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu

Uchawi wa mafundo ni uchawi wa kifungo cha siri kimfunga mtu kutumia kitu kinachomwakilisha

mtu! mfano mtu akitaka kukufunga usipate kazi atachukua C.V yako ataipeleka mganga! ile C.V itapikwa

kwenye chungu au itachomwa moto na majivu yako kupeperushiwa baharini. hapo nafasi ya kazi yako

imepigwa mafundo.Mtu akitaka amfunge mtu asipate watoto, au ampotezee siku za wanawake au

amrushie majini mahaba au amfanye chochote inaweza chukuliwa nguo ya mtu ya ndani

ikapelekwa kufanyiwa dawa na ikabaki huko! na iyo nguo inafungwa kwenye fundo la kitambaa cheusi au

cheupe au chekundu au cha kijani. inafukiwa au kuwekwa juu ya mti.
Ndo mana ukienda kijijini unaweza

kukuta juu ya mti kuna makufuli au mnyororo, au kamba imefungwa zinaninginia jua hapo kuna watu
wamefungwa.

Sasa basi 100% ya binadamu tunapotezaga vitu vyetu vingi au tunaibiwa na wala hatujui

vinaelekea wap? mfano wengi tulipokuwa tunasoma tushaibiwa kalamu, penseli, daftari, begi la

shule, sweta la shule na vitu kama hivyo. Katika utu uzima ushawahi poteza hangerchief, nguo za ndani,

soksi, vyombo vya ndani kama vijiko, sahani, sufuria unajitahidi kutafuta unashangaa huvioni na hujui viliendaga wap!

Utakuta kuna nguo yako gafla ndani huioni, kuna picha yako gafla huioni, kuna shuka zako gafla huioni, aidha

kitu kinachopotea, kitu kicholiibiwa, alafu hukimbuki kabisa, wanawake wanapoteza hereni, pete, cheni,

wanja, lipstick gafla hawavioni ndani na hawajawahi kujiuliza vinaendaga wap?

Kwenye misiba mingine wengine wananyolewa nywele zile nywele hata hawaulizagi zinaenda wap?

zile nywele huchukuliwa na kwenda kuzikwa pembeni kwenye kaburi la mtu mkubwa katika ukoo

wanakukabithi huko! ndo mana ni muhimu kuwa makini kwenye mila na tamaduni ambazo huzijui

manake unaweza kuta tayari umeunganishwa huko! ni bora ukatae watu wakutenge kuliko

kufanya mambo kama haya. kwanza yanakufunga yote hii ni aina za mafundo.

Aina za Mafundo sasa:

-kitambaa cheupe
-kitambaa cheusi
-kitambaa chekundu
-kitambaa cha kijani
-makufuli
-kamba
-minyororo
-ngozi ya mnyama
-au kitu chochote watakacho tumia

Vitu vinavyoweza pigwa mafundo:

-alama ya nyayo ya mtu au kiatu katika ardhi
-kiatu
-soksi
-picha
-C V
-Document/karatasi yenye uhusiano na wewe au details zako
-nguo za aina yoyote
-Hereni
-Pete
-Cheni
-Mkufu
-Kivuli cha Mtu
-Vitu vyote ulivyowahi kuvishika
-vitu vyote ulivyowahi kuibiwa
-vitu ulivyoacha kuvitumia
-Waste za PAD za akina mama
-Vitu vilivyoibiwa au kupoteza na huvikumbuki
-Vyombo vya ndani kama vijike, visu, kikombe, vibao vya vyapati, kitabu
-kitu chochote chenye link na wewe.

Mafundo haya baada ya kufungwa huwa yanakuwa sehemu nne:

-Ardhi
-Anga
-Bahari
-Chini ya bahari yani kuzimu

UBAYA WA MAFUNDO UKO WAPI?

-ubaya wa mafundo ni huu wachawi wanatabia ya kubadilishana mafundo, yani kama John kapigwa

fundo la kutokupata kazi, fundo lako unaweza kuta liko Ghana na mtu wa Ghana liko Tanzania. mtu uyu

watamwombea mpaka waruke waruke hakuna kitu ni mpaka Roho Mtakatifu afungue hilo fumbo! Mtu

anakuwa huru kwa kufungua ilo fundo popote lilipo likiwekwa huru na yeye yupo huru! fundo unaweza

ukaletewa ukapokea pasipo wewe kujua au kikachukuliwa kitu kwako ukaenda kufungwa.

Kwanini watu wengi wanaenda kwa Phophet ni sababu wamepewa uwezo pamoja na kuona mafundo

haya! lakini maombi mazuri ya kujifungua ni yale ya kukiri mwenyewe! huwezi jua umefungwa

wap? au umefungwaje lakini neno la Mungu na damu ya Yesu inaweza kufika sehemu wewe huwezi fika.

ivyo kwa maombi tutakayoenda kufanya Roho Mtakatifu atatusaidia utaenda weka huru na MASTER JESUS.

watu wengi sana wamefungwa vibali vyao, wanaumwa pressure, kisukari, ukimwi, magonjwa ya

moyo, hawapati watoto! mambo yanaharibika lakini ukichunguza wamepigwa mafundo! adui wa mtu

ni wa nyumbani mwake shetani hugeuza watu wa karibu kabisa kuwa adui yako! ivyo huwezi jua

kazini kwako, kwenye biashara yako, mwingine unamsaidia ela anaipeleka kwa waganga kukupiga

mafundo! tunavifungo vya siri vingi ambavyo ndivyo vinaitwa mafundo. mtu akikuambia "utaona" ilo neno

usilichukulie rahisi! ndoa nyingi, biashara nyingi, vibali vingi, kazi , biashara nyingi vingi vimeharibiwa

kwa mafundo. And you will never know mpaka uombe! lazima wewe uombe Mungu aone juhudi yako.

Halleluyah! Halleluyah!
nitaachia hapo uendelee kudigest kwanza ili nitakapo kuja kuweka

maombi kwa neema ya Mungu najua utaomba. JINA LA BWANA LIBARIKIWE!

Mafundo huwa yanamadhabahu, yametolewa sadaka, yamefanyika maagano, yana wasimamizi wa

mafundo, na walinzi wa mafundo. Mungu atakapo shusha maombi tutapita kote huko.

Roho wa Mungu amenikumbusha hata nywele za saloon zinazobaki zinachukuliwa na kwenda kupigwa

mafundo na unakuta huwezi kimbia we jiulize inakuwaje mtu anaenda umbali zaidi ya km 10 kufuata

saloon tuu, kufuata chakula tuu, kufuata kitu flani biashara nyingi wateja wengi wanapigwa mafundo

ndio maana kila ukizunguka unarudi kwenye ilo duka! hata ukimtuma mtoto unamuambia nenda kwa flani

usiende sehemu ingine popote! ili kuwatishia wanaweka nyimbo za dini! mnajidanganya mnasema aaah
kaokoka yule ukienda pale full Gosper! ndio kuna swala la huduma nzuri lakini kuna case zingine hata

wewe hujielewi kwanini unafanya unayoyafanya. migawa, mahotel, huko bar ndio kabisa, kwenye

kuchoma nyama, kwenye chips viti moto, watu wengi sana wamepigwa mafundo na unakuta mtu anajaza

kwelikweli ukiwa mtu wa Rohoni utamsikia tuu Roho Mtakatifu usikae hapa, au unakosa amani
kwenda hapo.

MAOMBI:

KUMB18:10-11

10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

HESABU

23 Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!

Baba sichoki kukushukuru sababu kila tatizo katika maisha yangu tayari liliwekewa majibu kabla hata

ya misingi ya dunia hii, kweli wewe ni Mungu wa ajabu ndio maana ukasema neno ndio taa, ndio njia ya

ukweli na uzima! pasipo hilo neno tupo gizani, Baba ninakushukuru sana kwa maneno haya leo lazima

uchawi wote wa mafundo ulionikamata au kunifunga lazima uondoke kwa jina la Yesu Kristo.

Nami nina kiri hakika hapana uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli nami eee Bwana ni

muisraeli nilioasiliwa kwa damu ya Yesu Kristo ufunuo 5:9, Asante Bwana Yesu kwa kunifanya kuhani

na Mfalme kwa kutumia damu yako! asante Bwana Yesu kwa ajili yako leo Mungu namuita Baba, leo nami

ni Mwana wa Mfalme, kwa damu iyo iyo wewe mafundo leo uko hatarini, nami sasa ninavaa mamlaka kamili

katika jina la Yesu Mungu kasema "hakika" manake ni mamlaka hakika iyo naiva katika kinywa changu,

moto huo wa kuteketeza uchawi na uganga ninauvika ulimi wangu katika jina la Yesu, ninakavaa silaa

zote damu ya Yesu, shoka la Mungu, upanga wa Mungu kinywani mwa Kristo, Mvua ya acid, tetemeko la

Mungu, haya uko wap sasa unayejiita mwenye nguvu, uko wap wewe uchawi wa mafundo? uko

wewe mwenye nguvu uliyenifunga leo ni leo lazima uporomoke chini kwa jina la Yesu, ewe falme za giza

mpo hatarini sasa, wachawi mpo hatarini sasa, waganga wa kienyeji mpo hatarini sasa, nyie washirikina

mlioniendea kwa waganga mpo hatarini sasa, nyie mlio nilaani kwa uchawi sasa mpo hatarini sasa,

mliotoa sadaka kuyafunga maisha yangu mpo hatarini sasa, walinzi hao wa kipepo wanaolinda hayo

mafundo mpo hatarini sasa, ewe sehemu ulipoficha mafundo hayo upo hatarini sasa katika jina la Yesu

Kristo na kwa damu ya Yesu Kristo.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika afya yangu, kukaniletea pressure, kisukari, cancer, HIV, kupoteza kumbukumbu, kifafa, kujikojolea, ugonjwa wa moyo, mapafu, maini, figo, kupooza, vidonda visivyo pona, uvimbe wa aina yoyote katika mwili, ndani ya mwili, nje ya mwili, ugonjwa wowote uliyefungwa kwa mafundo ndani ya mwili wangu, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Elimu yangu, kwa njia ya magonjwa , kupoteza kumbukumbu, kuharibu uchumi wa wasaidizi wangu, kwa nguvu za giza, kutokuelewa darasani, udhaifu wa mwili, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika kazi yangu au nafasi ya kazi yangu, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Ndoa yangu ukanisababishia kutokukuwa na maelewano, mpasuko, kushindana, kuondoa upendo wa kwanza,kuharibu uchumi wa ndoa, kuleta magonjwa,kutokupata mimba, machafukl yote katika ndoa kupitia mafundo kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika biashara na miradi yangu, kunisababishia hasara, kufunga duka/mradi, madeni, kutokuwa na wateja, na aina zote za mafundo katika biashara/miradi  kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika vibali/kuongezeka! kupanua hema  kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Huduma yangu, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika uchumi wangu, kunisababishia ufukara, umasikini, mapooza, utasa, na madeni, kutokufanikiwa, mauti katika kila jambo kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Ufahamu/Akili yangu kunisababishia uzito wa akili, kutokukumbuka, kutokuzingatia, kutokuwa kuwa makini, kuchanganyikiwa, ukichaa wa mda, mlipuko wa akili, maamuzi yasiyofaa, kutokuwa na hisia katika mwili wangu,  kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshikilia mwili na roho yangu kwa njia ya uchawi kunisababishia kutokufunguliwa, mateso katika ndoto, kutokuwa huru mwilini na rohoni, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Mali zangu kunisababishia hasara  mapooza, kushindwa kuendeleza mashamba, kujenga nyumba, kushindwa kuendeleza mali zote Mungu alizonipatia, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Familia na watoto wangu kuniasababishia kutokuwa na maelewano, watoto kuwa watukutu, mpasuko, chuki, visasi, kutokuendelea, magonjwa ya kila mara, kufa kila mara kwa wanafamilia , kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Wasaidizi walioandaliwana Mungu katika maisha, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

Ewe uchawi wa mafundo uliyeshika Mahusiano yangu na watu, kunisababishia kupoteza marafiki watu muhimu, kuvunja uchumba, kuharibu kazi, biashara, huduma, ndoa, majirani, wana ukoo, kupitia nyayo za miguu, kupitia kivuli, picha, vitu nilivyowahi kuvishika, Document, karatasi, C V, soksi, nguo za ndani zoote, kitambaa cha mkononi, nguo za aina yoyote, vyombo vyote vya ndani, hereni, cheni, shanga, pete, vyote navyotumia juu ya mwili wangu, vyote nilivyowahi kuibiwa, au kupoteza na yanayofanana kama hayo. kwa jina  la Yesu Kristo kwa damu ya Yesu, mafundo ya kitambaa cheupe, chekundu, cheusi , kijani, makufuli, kamba, minyororo, ngozi ya mnyama, au yanayofanana kama hayo, Ambayo mafundo hayo yapo milimani, kando ya mito, nyumba za wachawi, pembezoni mwa bahari, vimedidimizwa majini, tumboni mwa kitu chochote, vimepeperushwa kwa upepo, makaburini, juu ya mti, chini ya mti, mapangoni, chini ya daraja, kwenye mitaro, chini ya jiwe, Box, mfuko, chupa, vyungu, vibuyu, pembe au sehemu yoyote ile juu ya ardhi, angani, baharini, na chini ya bahari neno la Bwana linasema Hesabu 23:23 hakuna uchawi juu ya Yakobo wala uganga juu ya Israeli kwa neno hilo mafundo yote ya uchawi popote yalipo nayateketeza kwa moto na kuyahukumu kwa damu ya Yesu sawasawa na Isaya 4:4! ninachilia damu ya Yesu ya utakaso juu ya dhambi yoyote ya mashitaka juu yangu sawasawa na Wakor (1) 5-7, ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa na ya vita ikafanye vita na madhabahu hizo zilizonishikilia sawa sawa na Kolosai (2) 14-15, ninaachilia damu ya Yesu ya kufuta hukumu katika hayo mafundo sawasawa na warumi 8-1 Katika jina la Yesu, Kwa damu ya Yesu, ninapasua pasua izo madhabahu zenye mafundo hayo sawasawa na Wafalme (1) 13-1-5, ninawavunjavunja na kuwabomoa wasimamizi na watekelezaji wa mshitaka yoyote yaliyopo katika mafundo hayo sawasawa na  Nyakati (2) 23-17, ninapasua na kuyayesha hayo mafundo kwa damu ya Yesu! Kwa moto wa Roho Mtakatifu, ninaamuru mafundo hayo kupasuka sasa! Kwa jina la Yesu, ninaalika malaika wa vita kwenda kufungua hayo mafundo sasa popote yalipo katika jina la Yesu, mafundo pasuka sasa kwa jina la Yesu! mafundo funguka sasa kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika jina la Yesu! mafundo chanika sasa kwa damu ya Yesu! mafundo nakuamuru potea sasa kwa jina la Yesu! chochote kilichofungwa naamuru kuachiliwa sasa kwa moto wa Yesu!  naamuru kuwa huru sasa kwa damu ya Yesu! naamuru kupokea uponyaji sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru Roho yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! Ushuhuda wangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! sifa yangu yangu kuachiliwa sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru uzima sasa kwa iko kilichotamkiwa umauti kwa jina la Yesu! kiwe kizima sasa kwa jina la Yesu! ninaamuru hiko kifungo kupotea sasa kwa jina la Yesu! kufutika sasa kwa jina la Yesu! mafundo na nguvu ya mafundo, wasimamizi, store ya mafundo, madhabahu iliyoshikilia ninavitamkia vitu vyote umauti, kufa sasa kwa jina la Yesu, izo sadaka, manuizo, laana nazitamkia umauti kufa sasa kwa jina la Yesu Kristo! sheria iliyotumika na misingi ya iyo madhabahu za mafundo naamuru kuporomoka sasa kwa jina la Yesu! natamkia mauti iyo mafundo na vitu vyote ndani yake katika jina la Yesu lililohai Ameen.

rudia mara 7* kwa siku haya maombi fanya kwa siku 7 mfululizo

JINA LAKE MUNGU LIBARIKIWE!
 *kama hujaokoka ndugu chukua uamuzi leo umpe Yesu maisha yako. Kuokoka nikukubali Yesu atake control ya maisha yako ya kiuchumi,ndoa,kazi zako biashara zako, maisha yako ya kiroho, na mambo yote ya kiujumla, ni kumruusu Yesu atake charge ya maisha yako.kumruusu roho wa Mungu apige hatua na kuokoka si kubadili dini. Huwezi mshinda adui ukiwa upande wake,Hivyo chukua hatua leo ndugu, ukae upande salama kwa Yesu. Mimi ndugu yako Joseph Ntandu

josephntandu@gmail.com,0713297066

Comments

  1. Umenibariki sana Mtu wa Mungu,namshkru Mungu kwa ajili yako,nitafanya hivo kwa neeema ya Mungu ndani ya siku 7.Mungu atatenda.Amina

    ReplyDelete
  2. UBARIKIWE MTUMISHI MUNGU AKUTANGULIE KWENYE KAZI ZAKO KWA KUTUPATIA MAOMBI KAMA HAYA MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI

    ReplyDelete
  3. Mungu akubariki sana kwa mafunuo haya yamenifungua kwa SEHEMU kubwa mno

    ReplyDelete
  4. Mungu atushindie kwakweli. Amen Mtumishi

    ReplyDelete
  5. Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu

    ReplyDelete
  6. kama ungependa kuokoa uhusiano/ndoa yako basi nitakupendekeza kwa Dk Dawn. alinisaidia kurejesha nyumba yangu baada ya miezi 11 ya utengano mkali kati yangu na mume wangu. Nilielekezwa kwake na dada yangu mkubwa wakati ndoa imeisha, akarudisha amani na furaha katika ndoa yangu, pia amesaidia marafiki zangu wengine na wanaishi kwa furaha kwa msaada wa Dk Dawn,
    Wasiliana naye ikiwa unahitaji usaidizi wa kurejesha uhusiano/ndoa yako/ ikiwa unataka kupata mimba au kuponya aina yoyote ya ugonjwa:
    Dk Dawn hatawahi kukukatisha tamaa:
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
    WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete
  7. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAOMBI YA KUFUNGUA KIBALI CHA  NAFASI YA KAZI

MAOMBI YA KUHARIBU ROHO YA KUCHELEWESHA