PART B OMBEA MALANGO YAKO YA ROHONI VIBALI VYAKO VIPATE KUWA HURU

MAELEZO MAFUPI KUHUSU VITA VYA IBILISI MALANGONI

1. lango la Nyakati au mda

√lango hili watu wengi watalidharau lakini subiri uone mwaka umeisha na malengo yako hayajatimia ndipo utajua kuna vita malangoni, subiri.

Neno;
waefeso 5-15, Kolosai 4-5, la ajabu maneno haya yote yanasema ukomboe wakati!

efeso 5-15
5 Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
16 mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.

kolosai 4-5
5 Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

√ maneno yote hayo yamezungumzia nyakati/mda ibilisi amegundua siku hizi njia nzuri ya kumfanya mkristo ashindwe vitu! pamoja na kuwa

na maarifa yote ya Mungu! ibilisi anakuweka bize tuu bila sababu yoyote angalia ni maombi mangap unapanga kuomba na hujayaomba,

angalia ni mara ngap umesema utaomba na hujaomba! angalia ni mara ngap unajisikia ndani yako  kuomba na hujaomba, angalia ni mara ngap roho

Mtakatifu anasema abudu/sifu anasema sifu na hujafanya hivyo? mara ngap unajisikia kumtafuta Mungu humtafuti? mara ngap umehairisha?

wakati unapojisikia kuomba ndipo wakati Roho alitaka upangue kitu katika ulimwengu wa Roho, ni wakati ambao ulitakiwa uzalishe kitu

hujazalisha! shetani anajua majira na nyakati za kujiliwa kwako ivyo huo mda atauiba! kwa kukuweka bize kitu cha kwanza kinachotumika

kupofusha akili na fikra za watu ni simu, picha au videos, groups  za whats app ambazo hazina uwepo wa Mungu! mtu anapanda mbegu nzuri ya neno

kabla haijachipua ibilisi anapiga iyo mbegu kabla hata haijachipua achia mbali kukua! movies!story za kukusisimua  story za kukuhuzunisha, story

za kukuogopesha ibilisi ana mitandao mingi sana ambayo! ibilisi ule mda na nyakati ambao unatakiwa upokee toka kwa Mungu atainua kitu uwe

nacho bize, aidha upoteze mda au usisikize maagizo ya Mungu. angalia jinsi watu walivyowazuri kuhairisha mambo! au kupuuzia mambo.

nakwambia ibilisi ameshika maisha yako kupitia mda! mtu akishika mda/ nyakati zako ameshika maisha yako. ule mda ambao ulitakiwa uombe

hauombi! ule mda ambao Mungu ameongea na wewe husikii sababu uko bize na mambo mengine kwa iyo anakukwepesha na shuhuda

zako. Mda na kitu ambacho ulitakiwa ukipate mda huo ukishapita aaah hana shida anakuachia, hana wasiwasi na wewe omba ruka ruka! ila

ukifika ule mda wa wewe kufanikiwa basi anakubana kwenye malango. sasa vita hivi hufanyika katika malango. adui hufungulia mambo yasiyofaa,

na kuzuia mambo yanayofaa. imefika wakati wewe sasa u control lango lako mwenyewe maana

adui amekuchelewesha sana, amekukosesha sana!

amekupotezea mda sana. nyakati za kujiliwa kwako adui anapanda nzige tunutu parare kukuibia mda ili
usifanye hicho kinachotakiwa! kufanyika na

umebaki mateka wake ni wakati wa wewe kucontrol mda wako sasa! ili usizidi kuchelewa jibu

linakuja lakini haukutani nalo sababu mda majira na nyakati

yako ibilisi anacheza nazo malangoni BWANA Yesu asifiwe! kwani ushawahi jiuliza inakuwaje mtu anaamka asubuhi sana na anachelewa

kanisani? na ukimuuliza anakuambia hata mimi sielewi kwanini nimechelewa, utakuta anazunguka nyumba nzima hana anachokifanya cha maana

ataingia huku anatoka huku! au anapanga kufanya kitu saa 4 asubuhi matokeo yake anakuja kufanya saa  10, wapendwa mda wetu umechezewa sana.

Mungu pekee akikaa katika lango lako la mda ndipo utaweza kufanya lile unalokipanga kwa mda na wakati wake. na vyote

ulivyopangiwa katika maisha yako utakutana navyo kama Mungu atakaa lango lako la mda na nyakati Bwana Yesu asifiwe! ibilisi anahila nyingi za kukuzuia kukuchelewesha.
jina la Bwana libarikiwe. Vita hivi hipiganiwa malangoni pekee! kuna
kitu kinaendelea sasa kwa watoto wa Mungu kuhairisha maombi yao binafsi hawaombi tena! au anakuja

kuomba too late. wakati Roho Mtakatifu anaposema Omba basi yupo

tayari kukusaidia! wewe hauombi wakati tayari madhara yashaupata unaanza kuomba tayari uharibu ushakupata wakati ungaliweza kuzuia! matokea wewe maombi

yako ni ya vita kila siku, huna mda wa kuongea na Mungu kwa taratibu maombi ya sala ya kumkumbusha Mungu,maombi ya toba na rehema, kumsihi Mungu. Kitu kingine hata

tunapoomba tunamaliza haraka haraka kumaliza kuomba, halafu hatuna mda wa kumsikiza Mungu naye akiongea, maombi ni maongezi
kati ya Mungu na binadamu wengi tunaongea na alafu kabla hajajibu umeondoka! huna mda wa kukaa hata lisaa kimya kuomba Mungu aongee always

unaharaka, na huna mda wa kumsikiza Mungu angalia kabla ya kuomba unatokea kwenye simu, baada ya kuomba unarudi kwenye simu unafanya mambo

ambayo yanablock ulinwengu wako wa roho na yanakuzuia kusikia kwa Mungu. tunakuwa bize na vitu ambavyo si vya msingi mbele ya Mungu, na

hatuwi bize katika vile vitu vya msingi vya kimungu. hivi ndo vita ninavyovizungumza hapa huna mda wa kumsikiza

Mungu, always tunaharaka ya kuondoka uweponi mwa Mungu wapendwa mda wetu umechezewa sana, angalia hata vitu vyako vingi unavifanya

nje ya mda nje ya nyakati. na
inatugharimu sana. maana mda ukipita umepita. Anza kumiliki lango lako la majira na nyakati. ili sasa ulicontrol mwenyewe

jina la Bwana libarikiwe.

2. Lango la msaidizi wa ndani

Mwanzo 41
38 Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake?
39 Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe.

40 Basi wewe utakuwa juu ya nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.

41 Farao akamwambia Yusufu, Tazama, nimekuweka juu ya nchi yote ya Misri.

*Nataka uangalie hayo maneno  kwa makini ona hayo maneno! MWENYE ROHO YA MUNGU NDANI YAKE, UTAKUWA JUU YA NYUMBA YANGU, WATU WANGU WATATAWALIWA, NINEKUWEKA JUU YA NCHI YOTE!

√Sasa basi nataka nikufungue macho shetani huchukua maneno ya biblia na kuyageuza na kuwaattack wana wa Mungu. geuza hayo maneno fanya hivi "mwenye roho ya shetani ndani yake, atakuwa juu ya nyumba yangu, watu wangu watatawaliwa, nimemuweka juu ya nchi!

hili ni lango kabisa tena ni rahisi kuliko yote wakati wewe unahangaika na wachawi kanisani unakesha unaomba shetani hutumia wafanyakazi

wa ndani kuharibu ndoa! kufunga uchumi, kupanda magonjwa kwa watoto, kuwalisha uchawi kupitia chakula, infact umemkabithi

shetani maisha yako kupitia wadada wa ndani! au wa kaka wa ndani! bila kujua asili ni wap ? ukoo wao unafanya nini? unamkabithi shetani watoto

wako kisha wewe unaenda kazini anashinda nao, anawafanya anavyotaka, anaingia chumbani kwako anafanya anavyotaka,

anakupikia ananuiza vitu anavyotaka, wengine baada ya mfanyakazi kuingia tuu ndipo matatizo katika ndoa yakaanza, ndipo hali ngumu ya uchumi

ikaanza, ndipo watoto wakaanza kuumwa, ndipo watoto wakawa na tabia za ajabu ajabu, ndipo watu wakaanza kuota ndoto za ajabu

mara wanalishwa vyakula au wanakula vyakula, mara wanaota wanafanya mapenzi na watu wasiowajua, mara wanapaa juu! ni hatari sana

kukaa na mchawi nyumba moja, mfanyakazi wa ndani alipoingia tuu ndipo wewe akili yako ikaanza kuwa nzito hauwi tena kama zamani! ndipo

mambo yako hayaendi! ukimwangalia jinsi alivyo mpole au alivyo mdogo hata haya maneno unaweza usiamini. sasa sijakuambia ukamfukuze

mfanyakazi wako wa ndani isipokuwa lazima uombe usiku ujaribu kumfinya kumdisturb na maombi endelea kwa mda mrefu, ukiona ametulia basi si

mtu mbaya ukiona anaaga kuondoka usimzuie! ni lango hatari sababu umempa access ya kila kitu chako! hata wanaume wanaofanya

mapenzi au kuchepuka na wafanyakazi wa ndani usifikiri ni kwa kutaka kwake bali amekatwa anaendeshwa kwa remote control, na mission yao ni

kuwaingiza wote kwenye ufalme wa giza, wakati nyie mmelala usiku yeye anachukua vitu vyenu anavipeleka kwa mganga kuvipiga mafundo.

Bwana Yesu asifiwe sana. Shatani ana mbinu nyingi sana za kukumaliza kukupandia maangamizo! hapendi kuona mtoto wa Mungu anafanikiwa.

Hili ni lango kabisa usipoliombea utashangaa kila mfanyakazi anayekuja kwako ni mchawi! manake lango la msaidizi wa ndani

limekamatwa na adui, anaruusu watu wabaya. hii ipo hata kwenye huduma biashara kazi, angalia watu walio chini ambaye wewe ni Boss shetani

anaweza mtumia kukuangamiza, angalia mtu uliyemweka dukani anaweza akawa hana kibali na biashara ukaifunga. angalia watu

walioko chini yako kwenye huduma, wanaweza kukuvuruga au kukufanya usimame! Bwana Yesu shetani anakupandia maadui katika

lango la msaidizi wa ndani bila wewe kujua wala kufahamu. take charge anza kushughulikia lango lako sasa la msaidizi wa ndani au

msaidizi chini yako, au
msaidizi wako. watu wengi sana wamefunga biashara, hotel, maisha yao yapo shimoni, wengine wamefukuzwa kazi, sababu ya

wasaidizi wa ndani sasa hulidhibiti kwa kumfukuza no unalidhibiti kwa kushughulikia hilo lango. na nishkuonyesha jinsi ya kushughuliki jina la

Bwana libarikiwe.

3. Lango la ndoa

√ katika lango ambalo shetani hulitumia kirahisi sana kama usipokuwa makini ni lango la Ndoa! ubaya wa lango la ndoa

linagusa hisia, linagusa moyo! linagusa nafsi ivyo shetani akifanikiwa kugusa lango hili basi kila kitu kimekufa! biashara imekufa, kazi imekufa,

huduma imekufa, familia imekufa ndo mana watu wengi waliokoka kabla ya kuingia katika ndoa wengi wanapata vita! wasije kuingia katika ndoa

ambayo Mungu aliipanga! ingawa huko nimegusa lango lingine leo tuangalie lango lenyewe la ndoa. yani baada ya mtu kuoa au kuolewa!

waebrania 13:4
4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.

Matatizo yooote ya ndoa yapo hapo juu! Ndoa iheshimiwe na watu wote! ndoa huaribiwa na watu wasioiheshimu! watu hawa ni kama marafiki, ndugu,

wakwe, majirani, wasichana wa ndani, wa pande zote mbili, kwa mme na mke. kwa upande wa Baba au mama, kutokueshimika maana yake ni watu kuingilia

katika maamuzi aidha utakuta mwanaume anaendeshwa na ndugu zake jinsi ya kuishi ndoa yake, au mwanamke anaendeshwa na ndugu zake

jinsi ya kukaa katika ndoa! watu wengine ni marafiki wana impact kubwa sababu tabia za marafiki wawili hufanana! bila kuangalia uhalisia. sasa

wanandoa wanaweza kuwa wako vizuri wameokoka! shetani hataishia kuwapandia watu tuu bali atawafuatilia kupitia madhabahu zake! kwa

kutumia watu wenye wivu kutumia uchawi, atatumia wasichana wa ndani kuharibu ndoa, kwa kutumia uchawi mfano matatizo 100% ni vita

vya madhabahu inaweza mfanya mwanamke akawa kiburi! mwanaume akawa mlevi , wote wakawa wana tabia ya kuchepuka, au kushindana

ndani ya nyumba, kuondoa hisia baina ya watu wawili, mwingine anafungwa na nguvu za giza utasikia akisema mimi hii ndoa siitaki kumbe yale ni

maneno ya jini ndani yake! ibilisi anachotaka apate mlango wa kukuangamiza maana ukiweka moyoni ukashindwa kusamehe, tayari

kakupata, ukitengana tayari kakupata! inaweza kuwa upande wa ndugu au upande wa mme au mke hawataki iyo ndoa, au majirani , au watu

wanaona wivu wa ndoa iyo wanaenda kwa waganga wa kienyeji kuwafunga na kuwaharibia tabia huwa zinatengenezwa kabisa kwa

wachawi tabia ya ulevi, tabia ya umalaya, kiburi, jeuri, kutokuwa na heshima, mateso ndani ya ndoa ni kitu kabisa mtu anatumiwa na kusetiwa na

kinakubali! kama hakitapita mlango wa mme basi kitapita mlango wa mke! kutokupa mimba, au mimba kuharibika, yani 100% ya matatizo ya ndoa

yanatokana na madhabahu za ibilisi! mimi mtu akiwa ananihadisia tuu tayari najua lango lake la ndoa lina tatizo! sababu kuna watu hawaeshimu hizi ndoa! wanaziingia

kwa njia moja au nyingine! Kwa iyo kabla hujaaanza lalamika embu rudi kwenye lango lako la ndoa, lango lao la ndoa lipo wazi adui

anapanda maadui katika lango lako la ndoa, anapanda uharibifu! shika lango lako litakase kwa damu ya Yesu, mlete Mfalme wa utukufu akae

hapo! vitu ambavyo havitakiwi kupita adui ndivyo anapitisha, vitu ambavyo vinatakiwa kupita anavifunga havipiti, mfano ndoa inatakiwa iwe na upendo,

kusamehe, asante! ibilisi anaruusu kutokusamehe, kutokuridhika, chuki, kulipa kisasi, kinyongo, uchungu moyoni manake ameruusu vitu

ndivyo sivyo kuingia na vile ambavyo vinatakiwa kuingia anavifungia nje. ni mda sasa wa kushika malango yako! kuyacontrol enough is enough!

matatizo yote ya ndoa husababishwa na watu wa nje kutokuheshimu ndoa iyo kuingilia kati. fungua macho yako sasa ya rohoni uoni!

kama si adui unayemuona basi ni adui madhabahu ambaye yupo nyuma ya mtu! kusababisha matatizo makubwa. yapo mambo meeeengi mno

naongea tuu kidogo upate mwanga. ili uendelee kufuatilia mwenyewe. sasa ugumu wenyewe uko hapa wengi ukiwaelezea kwanza

hawaamini sababu hamtizami adui nyuma ya mtu yeye anamtizama mtu kama mtu, kwa sababu ni mtu anayeshirikiana naye kila kitu

kwa iyo moyoni mwake a unasema ananifanyia makusudi
kila akitaka kuangalia adui nyuma ya mtu shetani anamwambia no! anakufanyia

makusudi! tena anakupa na sababu anafanya hivi sababu hii na wewe unakubali! unajenga kitu moyoni tayari matatizo yanaanzia hapo.

matatizo ya ndoa nyingi yapo kwenye misingi! jinsi watu hawa walivyokutana! je walikuwa wamefunguliwa wote? mfano wengi bila kujijua

wameshikwa na madhabahu wanapoolewa au kuoa ndipo wanaanza kuona machungu ya madhabahu! ndoa nyingi matatizo mengi yanaletwa na

spiritual husband/spiritual wife.kwa iyo lazima wafunguliwe! kama mmoja ameokoka na kufunguliwa na mwingine hajaokoka na hajafunguliwa

tayari ni mlango. BWANA YESU ASIFIWE SANA! lakini utakapo anza kugusa lango lako la ndoa! haya yote Roho Mtakatifu ataanza kukuonyesha.

Nakwambia vitu  ni vingi mno siwezi kusema nikamaliza hapa lakini solution kafanye maombi katika lango lako la ndoa! na matatizo yako ya ndoa

yatafunguka Bwana Yesu asifiwe sana. JINA LA BWANA LIBARIKIWE SANA!

4. Lango la ibada

Yohana 4-23-24

23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.

24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

* Katika lango ambalo halitakiwi kukaa vibaya hata dakika moja basi ni hili la ibada!

hili lango ndilo linacontrol malango mengine yote! ukipigwa hapa ni sawa na

kipofu anayejaribu kuvuka mto! nakwambia maji yatakupeleka! na utazamishwa! lango la ibada

linajumuisha KUSIFU NA KUABUDU, KUSOMA NENO, KUOMBA, unajua mtu

anaposhindwa kusoma neno, au kuachilia maombi, au kusifu na kuabudu toka rohoni

manake katika lango hili adui kalifunga, kafungulia taarabu, bongo fleva, kafungulia kwaito,

kafungulia story zisizo na maana, kafungulia mitandao yote ya kijamii, lakini si cha

Mungu! kafungulia tamthilia za kifilipino, kafungulia magazeti ya udaku, kafungulia habari za

siasa, kafungulia habari za akina diamond na wema sepetu, atakuruusu utembee

magroup yote lakini si group la wanamaombi! atakuruuusu usome story ndefu

zinazoelezea mapenzi lakini si somo lililowekwa hapa la kufungua watu, atakuruusu

uangalie fashion mpya, magari mapya, nini kinaendelea duniani lakini si mambo ya

Mungu, anaweza kukuruusu usikize neno lakini usiwe mtendaji wa neno, angalia

ratiba yako tokea asubuhi mpaka jioni ndipo utajua kama umefungwa au hujafungwa na

adui. PRIMARY REASON YA MUNGU KUKUWEKA HAPA DUNIANI NI WEWE KUMFANYIA

MUNGU IBADA KATIKA ROHO NA KWELI, hii ndo shortcut ya wewe kubarikiwa kama ulikuwa

hujui! na ndo nia ya kukubariki nishawahi sema tena kwenye somo la nyuma. wewe kama

unahangaika Mungu akupe utajiri au haja ya moyo wako basi upo nje ya mpango wa

Mungu. Mwombe Mungu akuwezeshe kumfanyia Mungu Ibada katika roho na

Kweli! alafu uone mambo atakayokuzidishia! hili mimi ninaendela kulifanyia kazi na

ninaona wepesi! sikiza unaweza usione umuhimu wa kumfanyia Mungu ibada katika

roho na kweli! hata Mungu atakuwa hana faida akiwekeza kwako sababu humfanyii ibada

katika roho na kweli, lango hili likikamata na kutawaliwa ndipo mtu anasema yani sijui kwanini 

siwezi kuomba kabisa, siku hizi sio kama zamani, Shetani anafungulia mambo mengine

lakini si mambo ya Mungu. ya Mungu hata ukiyasikia basi usiwe mtendaji wa neno! lango

hili likikamatwa ndipo unamuona mtu anaanza kubishana na watumishi,

anawakosoa watumishi, anawasema watumishi, anawatukana watumishi! hata

yeye mwenyewe hajui anachokifanya, baadae ndipo anakuja kujua tayari laana ya

Mungu imempata maana amemgusa masihi wa Mungu. mi nasema ni bora hata

umkwepe mtumishi wa Mungu kuliko umfanye kitu chochote mtumishi wa Mungu utakula

ukoma mbaya wa Mungu mwenyewe. kwa hiyo. Shikilia lango hili ukipigwa hapa! basi

wewe ni kipofu shetani anakupiga anavyotaka, rudi kwenye maombi! shinga lango

lako. lango hili likishikiliwa wachawi watakucheze wanavyotaka, watakulisha

uchawi usiku, watakukalia, watakufunga kila kona na utaangaika hujui la kufanya,

hakuna kitu hatari kama wewe unashindwa kabisa kuomba hata nusu saa, hatari ingine ni

kujua tatizo chanzo chake madhara yake kisha huwezi kabisa kuomba, na kipengele

cha maombi binafsi siku hizi shetani kakifunga, na amefungulia watu kuamini zaidi

material zaidi ya neno na kukiri neno kwa maombi! amefunguliwa watu kuamini

zaidi kufarijiwa na maneno mazuri matamu badala ya neno la Mungu au kutabiriwa! hata

ukipata unabii leo kama hutajua jinsi ya kuatamia utokee kwako basi unaweza kusema labla

yule nabii wa uwongo. watu wamefungwa hapa imani zao  wamefungwa wamefungwa

wasielewe neno wanapolisoma, wamefungwa hata wanaposikia wasilichukulie uzito! shetani

analipooza anawaambia lakini

Mungu alisema hivi kwa iyo usiwe na wasiwasi, ni kama alivyojaribu kumdanganya Yesu

ruka chini kwa kuwa Mungu atakuagizia malaika wake wakuchukue mikononi mwake!

inaweza kuna neno la kugawanya nafsi na roho shetani anakuambia hakuna

wewe umesahau neno si linasema hivi! bila kupima iyo sauti inayokuambia ni ya roho

Mtakatifu au ya ibilisi, kuna mtu mmoja alienda kufunga mlimani tatu kavu, kufika siku

ya Tatu akasikia sauti ikisema usiogope mimi ni Bwana Mungu wako nimekuja

nikusikize! mwisho wake ibilisi akamwambia pale nyumbani kuna jogoo nenda kamchinje

kisha unywe damu yake ili ufanye agano na mimi, yule Bwana sababu alikuwa hana

neno la kutosha ndani yake akaenda akafanya hivyo! matokeo yako akawa kichaa,

wakati biblia imeandika kabisa usinywe wala kula damu ya kitu chochote! maana damu ina

uhai. kamata lango lako la ibada. JINA LA BWANA LIBARIKIWE!

5. Lango la Marafiki

katika lango hatari lingine basi ni hili la marafiki, ukimuona msichana anavuta sigara au

kunywa viloba basi mojakwamoja aidha alikuwa au anayeboyfriend anayefanya vitu

hivyo ndo tafsiri yake, sisi tukiokoka tuna wachumba sio boyfriend au girlfriend , kusudi

uendelee anahitaji marafiki, inategemea lango lake linamkutanisha rafiki gani?

ukiona mme au mke amebadilika au mtoto kabadilika chunguza utakuta ni

rafiki, aidha rafiki akulete karibu na Mungu au akupeleke shimoni kwa shetani. Mfano

unaweza kuta binti kaokoka kaanza kazi mpya, alipoanza akapata rafiki pale ofisini, uyo

rafiki anavaa vimini vya hatari, mara ya kwanza yule binti atashanga lakini siku

zinavyozidi kwenda ndipo ataona ni hali ya kawaida kidogo kidogo naye ataanza

fupisha fupisha mwisho wake tayari,

Mithali 13-20
20 Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.

huwezi tembea na mmbea na wewe usiwe mbeya, huwezi tembea na mlevi na wewe

usiwe na mlevi, huwezi tembea na mtu anayechepuka, anayejichanganya na wewe

usiwe hivyo! lazima tuu utakuwa hivyo! na ukiachilia mbali ndoa shetani

huwapandia sana watu maadui bila wao kujua, unaweza kuta unarafiki kumbe usiku

anakuloga, unaweza kuta una rafiki unashare kila kitu yeye yupo ufalme wa giza, watu

wanawaombeaga tuu watoto wao! lakini wanajisahau wao kujiombea lango la rafiki ni

hatari sababu unamfunulia siri zako zote! ni lango ambalo wengi wanalidharau, hata hapa

anaposoma analidharau lakini nakwambia shetani ana mbinu nyingi za kukumaliza, ana plan

nyingi juu yako! ivyo ulivyo ni matokeo ya marafiki uliyokuwa nao, pengine ungepata marafiki

wa ki Mungu ungeshavuka hapa unapopatafuta! mwombe Mungu akuchagulie marafiki

usijichanganye na kila mtu! wengine ni mawakala wa ibilisi wa siri! gafla mtu kakamatwa

na anajikuta yupo ufalme wa giza, mwingine anasema lakini mimi rafiki yangu mimi namjua

tena anapenda mambo ya Mungu namfahamu siku nyingi sana! wewe hujui kuliko roho

Mtakatifu maana akili yetu inaishia katika macho yetu. yani kile tukionacho! watu

wengi sana wamevurugwa na wameshikwa pabaya na rafiki mkishaungana lazima zile tabia

zitakuja kwako hata kama huzitaki  mapatano yenu ya urafiki yanakuwa mpaka rohoni.

ivyo lazima ukamate hili lango la rafiki uliombee usiseme mimi sivuti sigara, au mimi sifanyi

lolote baya nachosema ombea lango lako la rafiki! utakapo anza kuliombea utashangaa

kuna watu automatically, watatengwa na wewe unajua kama umeokoka huwezi kuwa

na urafiki na kila mtu, ongea na kila mtu, kuwa na urafiki na kila mtu ni hatari sana. na

watu wengi sana wamerudishw a nyuma na marafiki, watu wengi wameachana katika

ndoa, wamefukuzwa kazi, wamepata ajali, wana maisha magumu sababu ya

kuambatana na marafiki ambao Mungu hakuwaruusu, shetani atakupandia adui kwa mtu

ambaye ni wa karibu yako kabisa ili wewe usiweze kuamini. Nachosema usimhisi

mtu wala kumnyoshea mtu kidole bali nenda omba. katika lango lako marafiki! na

utakapoanza kuomba Mungu ataondoa marafiki wabaya , na atakuchagulia marafiki wa

kukupeleka mbele, na usiseme hili somo linamfaa flani hili somo ni la kila mtu! muulize

aliyenda kwa mganga wa kienyeji atakwambia nilipelekwa na rafiki! shida

kubwa ambayo wengi hawaijuia ni kwamba ukiwa na rafiki basi si hapa tuu katika ulimwengu

wa roho pia, kwa iyo lango lako linaweza ruusu tabia za upande mwingine kuingia lango lako,

hatari ya pili uyu ni rafiki shetani akimgeuza adui wa siri jua kakumaliza, maana anajua

kuhusu wewe, kingine shetani hupandikizia watu ili kunyonya nguvu zako za rohoni. unakuta

wewe umeokoka unarafiki ambaye hajaokoka utaanza kujiswith ila muweze

kuelewana kwa kufanya ivyo unajikuta katika mtego wa ibilisi lango hili ni

hatari sana! hatari mno! watu wengi wamefungwa wamevurugwa maisha bila

kujua ni matokeo ya marafiki wa huko nyuma au sasa, sisemi uhisi kila kitu but roho

Mtakatifu unakuta marafiki wawili wanaambatana mmoja yuko juu ya mwingine gafla

huyu mwingine aliyekuwa chini anaendelea sana na huyu mwingine anarudi nyuma sana,

na hata yeye ukimuuliza anakwambia hata mimi sielewi nini kinaendelea yani hana

majibu pesa anayo lakini hakuna maendeleo anaishia kutapanya hela tuu, au

zinaenda kwenye madeni. chanzo chake ni marafiki! marafiki ibilisi huwapandia

wivu, na wanakuwa tayari kukuharibia maisha yako kwa uchawi jina la Bwana libarikiwe

na wengi sana wamepigwa uchawi wa kupigwa mafundo na marafiki bila wao kujijua.

JINA LA BWANA LIBARIKIWE! Kwa iyo shika lango lako la marafiki kwa

maombi. BWANA YESU ASIFIWE SANA.

6. Lango la kuoa/kuolewa

Hii section muhimu sana ndio iliyozaa kizazi cha Ibrahim! kwa ibilisi hawezi kukubali atafanya

vita na wewe kwa kila namna ili usijekutana na mtu sahihi. omba Mungu akupe mtu sahihi!

usiombe akupe mtu unayemtamani wewe! aidha wewe ni kijana wa kiume/

wakike maana kiunoni mwa mwanaume kuna taifa la Mungu, tumboni mwa Sarah

kuna taifa la Mungu. ni kawaida kabisa mtu yoyote aliyookoka kupata vita ya kuoa/ kuolewa!

wala usije jisikia vibaya! kuchelewa! ni bora Mungu akupe ndoa lakini ukawa na

furaha na amani ukimtumikia Mungu kwa shangwe mpaka Mungu atakapo kuita. lakini

kama uliingia basi mkubali kufinyangwa na Mungu. kusudi Mungu awageuza watu wake

atawafinyanga tuu. halleluyah! halleluyah! na mwingine atachukulia masihara ngoja

ufike mda sasa ndo utajua una vita au vip! mwingine anasema uyo ni selective sana! sio swala

la kuwa selective ni kwamba mlangoni kuna vita na si swala la mdada tuu, vita hii hata mkaka.

Mwanzo 2-24
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Zaburi 45-10
10 Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.

na si swala la mkaka tuu kuhangaika no hata mdada anatakiwa kuomba kwa juhudi

mwingine atasema mimi mzuri, au  ninamaisha yangu mwenye shida atanifuata no!

usijidanganye rudi kwenye malango uombe! Halleluyah! kwa mwanamke kila akija mtu

anapanguliwa analetwa ndio siyo kabisa wale watu sahihi ibilisi anawafungia nje kabisa,

unakuta kila mtu sahihi akija uhusiano haumalizi miezi 3, unavunjika, ingawa wengine

wanasababisha kwa kuruusu uasherati wenyewe, Bwana Yesu asifiwe! utaona mtu
kaokoka na kila akija

mwanaume anayekuja anakuja mwislamu wa "mataifa", au hajaokoka muhuni wa kutupa,

na anajifajiri (mdada)Mungu atambadilisha, matatizo haya yanaanzaga kwenye shina, la

ukoo kwenye madhabahu! au kwa kupigwa mafundo, au kwa kufungwa!

kuna madhabahu za koo ingine haziruusu kuleta mlokole kwenye familia maana

ataharibu mitego yao yote kwa iyo wanachofanya wanamwekea mtoto wao wa kike zile tabia za

kukimbiza wanaume, au utakuta tuu mtu hapendi kuolewa, au ana selective sana

vyote hivi ni vifungo. Kwa mwanaume anaweza pata mchumba safi ila sasa uchumi

wake unapigwa vibaya ili ashindwe fanya lolote. akipata mtu ambaye ibilisi kamuachia

uchumi unaachiliwa kwa hivi vinakuwa controlled kabisa na ibilisi katika malango, ukitaka

kujua ni kweli angalia vibao huko barabarani vya waganga dawa ya kupata mchumba

dawa ya kuolewa,ndoa siku tatu ukienda tuu tayari umesajiliwa kuzimu, nia ya pili ya kufunga watu ni watu

watafute msaada kwa ibilisi ukienda tayari kakusajili. Na kama si yeye ibilisi asingekuwa

na ujasiri wa kuwaambia watangazieni anawatangazia sababu anajua amewafunga!

na wanaojua siri hii ni wachache kwa kufanya hivi anawapata wengi

sasa wengi kwa kutokujua wanabaki wanasubiri tuu na miaka inazidi kwenda kama

unashida hii kwanza jifungue kupitia ardhi, pili fungua lango lako la kuoa na kuolewa,

utashangaa jinsi watakavyomwagiga mpaka utamuuliza Mungu yupi ni yupi

Mungu plan yake iko full in package, kaweka watu waoane ili wazae kizazi cha Mungu.

shetani yupo against ili swala hivyo anakupiga vita, elewa kwamba vita vyovyote huwa

chanzo chake ni malango, lango hili likishikwa ibilisi hupitisha watu wrong kabisa

ili kukuangamiza. Jina la Bwana Libarikiwe!

7. Lango la furaha na amani

wafilipi 4:4

4 Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.

Mtu kufurahi kuwa na amani inategemea malangoni pake panapita nini? kuna mwingine

akifurahi leo akiwa na amani basi ujue atakuwa anakilio mwezi mzima, kila wakati

anakwazika tuu hata mambo ya kawaida yeye hukukwazika hukasiria huchukia bila sababu

ya msingi wakati wenzake wanacheka yeye yupo serious! watu wa namna hii huwa

hawasociolize na watu! hamna kitu kibaya kama kuwa na mafanikio hata kidogo tuu lakini

mtu akikunyima amani au furaha unaweza kukonda kabisa! utajuaje kama lango

lako hili limevamiwa na ibilisi kwanza unakasirika ovyo, una jazba, unachukia chukia ovyo,

na kwazika ovyo, kila mara ni mtu wa kulianzisha, kila mara ni mtu wa kutafuta ugomvi, ni

mtu mwenye wivu, huna appetite hata ya kula, ili lango likikaa vibaya hata ibada zako

kwa Mungu zitaenda ivyo ivyo, mtu mwenye majonzi asiye na furaha na amani hata familia

yake itakuwa ivyo ivyo! Bwana Yesu asifiwe! Mtu asiye na furaha na amani atapinga kila

kitu, mara ingine vigumu kusamehe, hawakubali watu wengine, yan zipo tabia za

ajabu ajabu zinazozalishwa kutokana na Mtu kutokuwa na furaha na amani.

kosa kila kitu lakini sio furaha na amani ukikosa amani na furaha utakosa hamu ya kuishi

utaishi kwa uchungu, majuto! sasa mambo haya yote sio mtu huwa anayatengeneza bali

ibilisi huwa anayapika kabisa mtu anatengenezewa mambo ya kukuinamisha nafsi, mambo

ya kumuumiza roho yake, anatengenezewa makwazo, matukio yatakayomuondolea

furaha  na amani anapandiwa maadui kazi yao ni moja tuu kumuondolea furaha na amani

hivi ni vita kabisa katika malango vita hivi vipo katika ndoa, kazi biashara ndo

unasikia mtu akisema mimi naacha yamenishida, naacha kazi, hii ndoa nataka tutengane

hii biashara naifunga, sababu ya kukosa furaha na amani anachojisahau lile ni lango,

Na ibilisi anachowinda usijemfanyia Mungu ibada katika Roho na kweli, ushindwe

kokote unakwenda litakufuatilia tuu, lango halikimbiwi kwanza ni lako unalikimbia vip? isipoku

wa lango linashughulikiwa na unatakiwa ulimiliki wewe sasa! miliki amani yako kwa kufanya

maombi kwenye lango lako sasa jina la Bwana libarikiwe! hatuwezi ongea malango yote

ila kwa  haya machache nina hakika umepata picha kwa undani kuhusu malango sasa.

tutakachooenda kufanya ni kufanya maombi ya malango part 2. ya kumsambaratisha

ivyo utakachofanya andika malango yanayokusumbua kisha kwa mfano wa maombi

yaliyopita na haya yanayokuja hakikisha malango yako yanakuwa huru kwelikweli

kabisa adui. Jina la Bwana libarikiwe!

*Maombi haya yana uvuvio wa Roho Mtakatifu. Wengi yamewafungua kwa kuwa ni Roho mwenyewe anafanya kazi kupitia neno la ukiri.

*ivyo sina shaka na wewe utawekwa huru. Ni maombi niliyopewa na Mungu mwenyewe Ivyo unapoomba omba kwa kumaanisha kufunguliwa.

Baba asante kwa Yeremia 1:12 wewe unaliangalia neno lako upate kulitimiza,  Neno lako waamuzi 5-8,

linasema kulikuwa kuna vita malangoni, neno lako zaburi biblia inaongea na malango yangu mimi

kuinuliwa ili mfalme wa utukufu apate kupita apate kuingia mfalme wa ni Bwana wa majeshi

yeye ni hodari wa vita, asante Mungu kwa kunijulisha matatizo yangu yote lipo lango lililoruusu

mashambulizi, leo nimejua hilo kwa msaada wa damu ya Yesu, kwa msaada wa Roho Mtakatifu, na

mamlaka niliyopewa kupitia neno leo naenda kutamka na nitakuwa huru sasa katika jina la Yesu, asante

Mungu kwa kuniweka huru! ninavaa mamlaka ya moto katika kinywa changu kwa jina la Yesu,

ninakamata shoka na upanga wa kiroho katika jina la Yesu, ninavaa moto katika nyayo zangu za

kumkanyaga shetani nge wake nyoka wake falme za giza mamlaka za giza jeshi la pepo wabaya

wakuuu wa giza leo hii nitawakanyaga katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Muda na wakati katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu na Muda na wakati yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la muda na wakati ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la wakati na mda kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la muda na wakati kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la uchumi katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la uchumi  mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la uchumi ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la uchumi kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la  uchumi kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Ndoa katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Ndoa yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango la Ndoa  ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Ndoa kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Ndoa kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la kuoa na kuolewa katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la kuowa na kuolewa yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la kuoa na kuolewa ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la kuoa na kuolewa kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la kuoa na kuolewa kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Amani na furaha katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Amani na furaha yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Amani na furaha ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Amani na furaha kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Amani na furaha kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Uzazi na uzao katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Uzao na uzazi yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la uzao na uzazi ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la uzao na uzazi kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la uzao na uzazi kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Afya katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Afya yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Afya ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango la Afya kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango la Afya kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Ibada katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Ibada yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Ibada ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Ibada kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Ibada kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Uhai katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Uhai yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Uhai ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Uhai kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Uhai kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Ufahamu na akili katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Ufahamu na akili yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Ufahamu na akili ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la ufahamu na akili kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Ufahamu na akili kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Marafiki katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Marafiki yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Marafiki ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Marafiki kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Marafiki kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Kibali katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Kibali yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Kibali ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Kibali kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Kibali kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la wasaidizi wa kazi katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la wasaidizi wa kazi yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la wasaidizi wa kazi ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango la wasaidizi wa kazi kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la wasaidizi wa kazi kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Makazi/mahali pa kuishi katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la makazi/mahali pa kuishi yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Makazi/mahali pa kuishi ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Makazi/mahali pa kuishi kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Makazi/mahali pa kuishi kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la utajiri na heshima katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la utajiri na heshima yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Utajiri na heshima ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Utajiri na heshima kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la utajiri na heshima kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Kula na kunywa katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Kula na kunywa yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Kula na Kunywa ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Kula na Kunywa kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Kula na kunywa kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Familia katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Familia yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe langu la Familia ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Familia kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Familia kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Biashara/kazi/fursa katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Biashara/kazi/Fursa yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Biashara/kazi/fursa ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Biashara/kazi/fursa kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Biashara/kazi/Fursa kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la kumiliki/kutawala katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Kumiliki/kutawala yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la kumiliki/kutawala ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Kumiliki/kutawala kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la kumiliki/kutawala kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Ndoto/maono katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Ndoto/maono yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Ndoto/maono ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Ndoto/maono kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Ndoto/maono kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Huduma katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Huduma yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Huduma ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Huduma kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Huduma kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la kuongezeka/kupiga hatua/ kupanuka katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Kuongezeka/kupiga hatua/ kupanuka yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Kuongezeka/kupiga hatua/kupanuka ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la kuongezeka/kupiga hatua/ kupanuka kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Kuongezeka/kupiga hatua /kupanuka kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Mme/mke katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Mme/mke yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Mme/Mke ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Mme/Mke kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Mme/Mke kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Watoto katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la watoto yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Watoto ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Watoto kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Watoto kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Mikono/miguu katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Mikono na Miguu yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Mikono na Miguu ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Mikono/miguu kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Mikono na Miguu kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

Ewe lango langu la Muhusiano katika ulimwengu wa roho ninakushika kwa damu ya Yesu. Ee Mungu Baba hili ni lango langu la Mahusiano yako mambo yaliyohujumiwa katika lango hili hata ikawa ya kwamba kuna mambo nimeyakosa, zipo baraka nilizozikosa, nimefungwa rohoni na mwilini sababu adui kapitisha mambo yasiyofaa. leo hii ninatubu kwa ajili ya chanzo cha maagano ya ibilisi au sheria katika lango hili, ninaomba unisamehe Mungu Baba katika jina la Yesu, sawasawa na Wakor (1) 5-7 ewe lango langu la Mahusiano ninakutakasa kwa damu ya mwanakondoo! sheria yoyote ya uharibifu nakufuta kwa damu ya Yesu ya utakaso, uharibifu wowote uliopita hapa ukasababisha kupoteza, kuchelewa, kukosa au kupishana na ahadi za Mungu katika lango hili Baba ninaachilia damu ya Yesu ya rufaa katika lango hili! ikakate rufaa juu ya uharibifu wote, ninaachilia damu ya Yesu ya vita katika lango hili ikafanye vita na wasimamizi wa sheria ya maagano na uharibu katika lango hili. ninaachilia damu ya Yesu ya utakaso lango hili likatakaswe sasa. sawasawa na  Wakolosai (2) 14-15  ninafuta mashitaka yote yalinenewa katika lango hili tokea falme zozote, wakuu wowote, tokea kwa wachawi, tokea kwenye madhabahu ya aina yoyote, au wakala wowote wa giza ninafuta mashataka yako kwa damu ya Yesu. sawasawa na Warumi 8-1 ninafuta hukumu zote against mimi kupitia hili lango langu la Mahusiano kwa jina la Yesu. Sawa sawa na neno la Mungu Isaya 4:4 ninaachilia Roho wa Kristo wa Hukumu na Roho wa Kristo wa kuteketeza wakahukumu na kuteketeza kila kazi za shetani katika lango langu la Mahusiano kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu katika jina la Yesu.

*rudia mara 7, omba siku 7 mfululizo alafu utaona nini kitatokea.

JINA LAKE MUNGU LIBARIKIWE!
 *kama hujaokoka ndugu chukua uamuzi leo umpe Yesu maisha yako. Kuokoka nikukubali Yesu atake control ya maisha yako ya kiuchumi,ndoa,kazi zako biashara zako, maisha yako ya kiroho, na mambo yote ya kiujumla, ni kumruusu Yesu atake charge ya maisha yako.kumruusu roho wa Mungu apige hatua na kuokoka si kubadili dini. Huwezi mshinda adui ukiwa upande wake,Hivyo chukua hatua leo ndugu, ukae upande salama kwa Yesu. Mimi ndugu yako Joseph Ntandu

josephntandu@gmail.com,0713297066

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAOMBI HATARI YA KUVUNJA UCHAWI WA MAFUNDO

MAOMBI YA KUFUNGUA KIBALI CHA  NAFASI YA KAZI

MAOMBI YA KUHARIBU ROHO YA KUCHELEWESHA