Posts

UPONYAJI WA UCHUMI

✝️ Day 3️⃣ *"KWA KUPIGWA KWAKE NIMEPONA TOKA KWENYE MADENI"* Isaya 53 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁴ Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa. ⁵ Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Baba katika jina la Yesu,Baba wa utukufu na Mungu Mtakatifu katika jina la Yesu Kristo,Baba kwa damu ya Yesu ninakuja kwako,kwa damu ya Yesu ninasogea kwako! Kwa jina la Yesu! unirehemu unisamehe!Neno lako linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa!Ee Bwana lolote lisilo kupendeza naungama natubu na kuomba Rehema,Rehemu uovu wangu,dhambi zangu na makosa yangu kwa damu ya Yesu,na kwa jina la Yesu uyafute maovu yangu,dhambi zangu,na makosa yangu nakusihi!Rehemu mawazo yangu,matendo yangu na maneno yangu ambayo yamekuwa kinyume kabisa na mapenzi yako.Baba Mtakatifu uchumi wangu unaumwa,mikono yangu inaumwa,...

UPONYAJI WA UCHUMI

✝️ Day 2️⃣🅱️ *"KWA KUPIGWA KWAKE NIMEPONA TOKA KWENYE MADENI"* 💡Isaya 53 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁴ Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa. ⁵ Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. ✍🏽Hiko ni kiapo cha Mungu kwa wale wote wamwaminio! Inakuwaje basi wengine wataomba kwa hilo andiko na bado hawatavuka?! *➡️HIZI ZINAWEZA KUWA MOJA YA SABABU,INGAWA SI ZOTE...* 1️⃣Kukataa kufundishwa na kuelekezwa na Roho Mtakatifu. ✔️Isaya 48 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ¹⁷ Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata. ¹⁸ Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari. ✍🏽Kila mtoto wa Mungu kusudi afanikiwe ni lazima aongozwe na R...

UPONYAJI WA UCHUMI

✝️ Day 2️⃣ *"KWA KUPIGWA KWAKE  NIMEPONA TOKA KWENYE MADENI"* 💡Isaya 53 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁴ Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa. ⁵ Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. ✍🏽Kumuamini Yesu ni jambo la kwanza!kuamini kuwa Yesu anauwezo wa kukulipia madeni na kuondoa roho ya madeni hilo ni jambo la pili.Usiishie tuu kumuamini Yesu ana uwezo wa kumuokoa mtu kwenye dhambi na huyo mtu akaokoka!Ila uende mbali zaidi.Yesu anayemsaidia mtu kwa damu yake hata akaokoka ana uwezo wa kumsaidia mtu akaondoka kutoka kwenye kifungo cha madeni!na madeni yenyewe!JINA LA BWANA LIBARIKIWE! ▶️Biblia inasema hivi nayo dhambi ikishachukua mimba huzaa mauti,madeni ni mtoto wa mauti!mauti ni adhabu itokanayo na dhambi iliyotendeka,na dhambi ni uasi!mauti kwenye uchumi haiwezi kuja tuu itakuja kupitia m...

UPONYAJI WA UCHUMI

✝️ Day 1️⃣ *"KWA KUPIGWA KWAKE NIMEPONA TOKA KWENYE MADENI"*. ✔️Isaya 53 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁴ Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa. ⁵ Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,*Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.* (Kusudi usifanye makosa uliyoyafanya huko nyuma ulipokuwa unaombea madeni yako!✍🏽kubali kupokea maarifa toka kwa Roho Mtakatifu,neno la Mungu linaweza kuwa lilelile lakini *Roho Mtakatifu anapolihuhisha haliwi lilelile*,Mpe nafasi Roho Mtakatifu atamtukuza Yesu kupitia adeni yako.) *➡️MASWALI MUHIMU SANA YA KUJIULIZA KABLA YA KUOMBA MSAADA WA MUNGU:* ✍🏽Kwa habari ya madeni! *1️⃣Nimefikaje hapa katika hali ya madeni!kabla ya kuingia katika haya madeni nini kilinisukuma nikope?!* ✅Nimekopa ili kufuta madeni ya nyuma?! ✅Nimekopa ili kufanya maendeleo?!mf.kununua asset!! ✅Nimekopa ili kuwasaidia watu wa karibu?!...

*"KUONDOA MIPAKA YA KIUCHUMI (KIFEDHA) KWA DAMU YA YESU"*

✝️ *"KUONDOA MIPAKA YA KIUCHUMI (KIFEDHA) KWA DAMU YA YESU"* Bwana Yesu Asifiwe! Isaya 54 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ² Panua mahali pa hema yako, na wayatandaze mapazia ya maskani yako; usiwakataze; ongeza urefu wa kamba zako; vikaze vigingi vya hema yako. ³ Kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto; na wazao wako watawamiliki mataifa; wataifanya miji iliyokuwa ukiwa kukaliwa na watu. ✍🏽 Nilipokuwa Katika jukumu langu la kulisha mtu wa ndani chakula!!Nikakutana na hili Andiko! Linasema IPanua mahali pa hema yako, na wayatandaze mapazia ya maskani yako;usiwakataze; ongeza urefu wa kamba zako;vikaze vigingi vya hema yako.Kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto; na wazao wako watawamiliki mataifa; wataifanya miji iliyokuwa ukiwa kukaliwa na watu.KISHA NIKAJIULIZA NAENEA UPANDE WA KUUME?!NAENEA UPANDE WA KUSHOTO!NIKAJIULIZA HEMA YANGU INAKUWA AU INAPUNGUA?!AU IMEBAKI PALEPALE!NIKAJIULIZA HEMA YANGU INATANUKA AU HAITANUKI?! Biblia inasema hivi!Kila n...

MAOMBI~ KUNYAMAZISHA MIUNGU KWENYE NAFSI KWA DAMU YA YESU

maombi~kunyamazisha miungu kwenye nafsi kwa damu ya Yesu Maombolezo 5 7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako;Na sisi tumeyachukua maovu yao. Mungu uliyehai katika jina la Yesu na kwa damu ya Yesu nasimama sehemu iliyobomoka kwa ajili yangu ninatubu na kuomba Rehema kwa ajili yangu, ninatubu na kuomba Rehema kwa ajili ya mashitaka na hukumu, vinavyonishitaki katika ulimwengu wa Roho, Baba nasimama sehemu iliyobomoka kwa ajili ya malango ya familia yangu, lango la uzazi upande wa baba, lango la uzazi upande wa mama, ninatubu na kuomba Rehema kwa ajili ya uovu wowote usiotubiwa,Bwana Yesu unisamehe na utusamehe, Ee Bwana imeandikwa Baba zetu walitenda dhambi na sasa hawapo na sisi tumeyachukua maovu yao,Mungu uliye hai kinachonifuatilia kupitia misingi mibovu ya damu ya ukoo na familia ninatubu na kuomba Rehema kwa ajili ya misingi, nirehemu Bwana, utusamehe Baba Mungu wa mbinguni, Biblia inasema misingi ikiharibika mwenye haki wangu atasimama wapi, Baba uliye mbinguni ipo misingi ya...

VITA VYA MIUNGU KWENYE NAFSI

Somo: *Vita vya miungu kwenye nafsi* Halleluyaaaah Bwana Yesu asifiwe Miungu wakati mwingi huwa inafanya kazi kinyume chako kwa njia ya siri sana, kwa hila sana, na wakati mwingine unaweza fikiri wewe ndo unamatatizo kumbe miungu imekukalia, katika jambo ambalo linawapa watu tabu basi ni hili, *mimi nimeokoka miungu itanikalia vipi?inapataje nguvu juu yangu na ikiwa nimeokoka?* , mpendwa mmoja alikuwa anamuomba Mungu amuondolee hasira, kila akiomba anaona katika ndoto anaongea na marehemu babu yake, kila akiomba baada ya wiki anapata hasira, kisha anamuuliza Mungu why? badaye Mungu akaja akafunua akambiwa babu yako alimwaga damu isiyokuwa na hatia,Kwa iyo adhabu ya kisasi malipizi hasira zipo juu ya ukoo wenu, hiyo damu iliyomwagiga damu, inanena kisasi malipizi na hasira juu Yenu, nikamwambia Mungu anapokuleta sura ya babu yako anataka ushughulikie chanzo, Jina la Bwana libarikiwe, iimeandikwa: Maombolezo 5 7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako;Na sisi tumeyachukua maovu yao. ...